logo
swahili
Rais wa Kenya atoa salamu za Ramadhan
Ramadhan ya mwaka huu inatarajiwa kuanza Machi 1 na kukamilika Machi 30. Mwezi huo wa mfungo unafikia mwisho kwa kusherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr, ambapo Waislamu hujumuika pamoja katika ibada.
Rais wa Kenya atoa salamu za Ramadhan
Rwanda yaambia nchi za Ulaya zisichanganye siasa na masuala ya usalama.
Februari 24, bunge la mataifa ya Ulaya lilijadili uwezekano wa kuiwekea Rwanda vikwazo. Wabunge walifikia makubaliano ya awali tu wakisema maamuzi yanatakiwa kuchukuliwa.
Rwanda yaambia nchi za Ulaya zisichanganye siasa na masuala ya usalama.
WHO inasema Mpox bado ni ugonjwa wa dharura
Nchi 22 barani zimeathiriwa na virusi vya Mpox huku 14 zikiwa katika hatua ya mlipuko na zingine nane katika hatua ya udhibiti.
WHO inasema Mpox bado ni ugonjwa wa dharura
DRC yafanya uchunguzi wa ugonjwa usiojulikana
Mlipuko wa hivi majuzi ulitokea katika kituo cha afya cha Basankusu, ambapo wiki iliyopita watu wengine 141 waliugua, ingawa hakuna vifo vilivyoripotiwa.
DRC yafanya uchunguzi wa ugonjwa usiojulikana
Maoni
Zaidi ya watu 8,500 wameuawa DRC tangu Januari 2025
Waziri wa Afya wa DRC Samuel-Roger Kamba anasema kuwa zaidi ya watu 5,700 pia wamejeruhiwa katika mashambulizi ya M23 mashariki mwa DRC
Zaidi ya watu 8,500 wameuawa DRC tangu Januari 2025
trt-primary
Habari za kimataifa zinazozungumza lugha yako.
Chagua chaneli yako unayoipenda sasa na upate zaidi kutoka kwenye menyu ya kando.
Habari zaidi
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us