Trump kukifanya Kiingereza lugha rasmi nchini Marekani
Kati ya majimbo 50 nchini Marekani, ni majimbo 32 tu ambayo yamepitisha Kiingereza kama lugha yao rasmi, kulingana na ‘ProEnglish’, taasisi yenye kuunga matumizi lugha ya hiyo.Kati ya majimbo 50 nchini Marekani, ni majimbo 32 tu ambayo yamepitisha Kiingereza kama lugha yao rasmi, kulingana na ‘ProEnglish’, taasisi yenye kuunga matumizi lugha ya hiyo.