logo
swahili
ULIMWENGU
Trump: Zelenskyy hayuko tayari kuona amani inapatikana
Donald Trump amekatisha mazungumzo yake na Volodymyr Zelenskyy kuhusu kumaliza vita na Urusi na mpango wa Marekani kuhusu madini adimu nchini Ukraine.
Trump: Zelenskyy hayuko tayari kuona amani inapatikana
Trump kukifanya Kiingereza lugha rasmi nchini Marekani
Kati ya majimbo 50 nchini Marekani, ni majimbo 32 tu ambayo yamepitisha Kiingereza kama lugha yao rasmi, kulingana na ‘ProEnglish’, taasisi yenye kuunga matumizi lugha ya hiyo.
Trump kukifanya Kiingereza lugha rasmi nchini Marekani
Watu kadhaa wauwawa katika shambulio dhidi ya waasi wa M23 nchini DRC
Mkutano uliokuwa ukiongozwa na kiongozi wa waasi wa M23 Corneille Nangaa, ilishambuliwa kwa risasi katika mji wa Bukavu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Watu kadhaa wauwawa katika shambulio dhidi ya waasi wa M23 nchini DRC
Opinion
Wanafunzi wa Syria masomoni Uturuki:ushirikiano wa kidiplomasia
Wanafunzi wa Syria walio katika vyuo vikuu nchini Uturuki wameonesha ishara ya namna diplomasia inavyoimarishwa na kutoa mtazamo wa ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili.
Wanafunzi wa Syria masomoni Uturuki:ushirikiano wa kidiplomasia
Rwanda yaishtumu Uingereza kwa vikwazo
Uingereza inaishtumu Rwanda kuunga mkono kikundi chenye silaha cha M23, ambacho tangu Januari kimefanya mashambulizi mengine mashariki mwa DRC, lakini Rwanda inaendelea kukanusha madai haya.
Rwanda yaishtumu Uingereza kwa vikwazo
Marais wastaafu wa kieneo wateuliwa kusuluhisha mzozo wa DRC
EAC na SADC wamewateua Uhuru Kenyatta kutoka Kenya, Olusegun Obasanjo kutoka Nigeria, na Hailemariam Desalegn kutoka Ethiopia kuongoza mazungumzo ya kutatua mzozo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Marais wastaafu wa kieneo wateuliwa kusuluhisha mzozo wa DRC
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us