logo
swahili
BURUDANI NA SANAA
Kutana na Steven Ogallo, Mkenya aliyebuni maktaba zitembeazo
Akiwa ni mchoraji na mpiga picha, Steven anatumia uwezo wake kuandaa michoro ya kuvutia.
Kutana na Steven Ogallo, Mkenya aliyebuni maktaba zitembeazo
Atumia sauti kama chanzo cha kujiingizia kipato
Stévy Daic Ndjalala Totolo kutoka Gabon, anatumia sauti yake kama chanzo cha kujipatia kipato kutokana na kutengeneza vipindi na matangazo yenye viwango vya juu.
Atumia sauti kama chanzo cha kujiingizia kipato
Sintofahamu yaghubika kesi ya mauaji ya msanii AKA
Watuhumiwa watano wanaohusishwa na kifo hicho walifikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Durban mwezi Februari 2024, ikiwa ni mwaka mmoja baada ya uhalifu huo.
Sintofahamu yaghubika kesi ya mauaji ya msanii AKA
Opinion
Saida Karoli, nyota iliyofifia
Mama yake ambae alikuwa na kipaji cha ngoma za kienyeji ndiye aliyempa moyo na hata kumfundisha masuala mbalimbali ya sanaa hiyo, hasa upigaji wa ngoma.
Saida Karoli, nyota iliyofifia
Vazi la khanga au leso lilivyofungamana na utamaduni wa waswahili
Khanga, au leso, ni kipande cha kitambaa chenye umbo la mstatili kilichotengenezwa kwa pamba na kupambwa kwa rangi tofauti, huku misemo na methali za Kiswahili zikitumika kutoa ujumbe.
Vazi la khanga au leso lilivyofungamana na utamaduni wa waswahili
Nchini Burundi ngoma huzungumza
Utamaduni wa upigaji ngoma nchini Burundi unaojulikana kienyeji kama "ingoma" ulianza karne ya 17, na uliheshimu utawala wa familia ya kifalme wakati huo.
Nchini Burundi ngoma huzungumza
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us