logo
swahili
BIASHARA NA UBUNIFU
Sekta ya anga Afrika kuingiza faida ya Dola Milioni 200 ifikapo 2025
Licha ya faida hiyo, sekta ya usafiri wa anga barani Afrika bado inakabiliwa na gharama za kubwa za usafiri.
Sekta ya anga Afrika kuingiza faida ya Dola Milioni 200 ifikapo 2025
Mpaka wa Rwanda na DRC washuhudia ongezeko la watu
Kulingana na takwimu zilizotolewa na wilaya ya Rubavu, uvukaji wa wati katika mpaka huo umeongezeka kutoka watu 4,000 hadi 20,000.
Mpaka wa Rwanda na DRC washuhudia ongezeko la watu
Rwanda yaongeza muda wa maeneo ya starehe msimu wa Krismasi
Maeneo ya huduma za starehe yataruhusiwa kufanya biashara usiku kucha Ijumaa, wikiendi na likizo za umma kati ya Disemba 10, 2024 hadi Januari 5, 2025
Rwanda yaongeza muda wa maeneo ya starehe msimu wa Krismasi
Opinion
Kutana na Steven Ogallo, Mkenya aliyebuni maktaba zitembeazo
Akiwa ni mchoraji na mpiga picha, Steven anatumia uwezo wake kuandaa michoro ya kuvutia.
Kutana na Steven Ogallo, Mkenya aliyebuni maktaba zitembeazo
Nigeria kuharamisha uuzaji wa mahindi nje ya nchi
Mswada mpya unalenga kuifanya iwe kinyume cha sheria kusafirisha mahindi ambayo hayajasindikwa kutoka kwa kiwango cha chini cha tani moja ya metriki huku kukiwa na mgogoro wa gharama ya maisha.
Nigeria kuharamisha uuzaji wa mahindi nje ya nchi
Wasafiri nchini Rwanda sasa kulipa nauli kutokana na umbali wa safari
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma nchini Rwanda (RURA) imezindua mfumo wa abiria kulipia gharama za huduma za usafiri wa mabasi ya umma kulingana na umbali wa eneo moja hadi jingine ndani ya jiji la Kigali.
Wasafiri nchini Rwanda sasa kulipa nauli kutokana na umbali wa safari
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us